Twitter Spaces

  • Posted on: April 29, 2024

Utekaji Na Vitisho Kwa Wafanyabiashara - Mpango Wa Nini Huu?

#MariaSpaces  #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #ChangeTanzania    Utekaji wa wananchi na viongozi wa serikali  haujaanza leo na um...

Continure Reading
  • Posted on: April 29, 2024

Bandari, Michezo, Elimu, Kila Sekta - Madudu Au Utani Wa CCM

#MariaSpaces  #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #ChangeTanzania  Kutokana na maoni ya watanzania, Serikali ya Chama Cha Mapinduzi imefeli kati...

Continure Reading
  • Posted on: March 21, 2024

Mama Anaupiga Mwingi - Je Kero Zimetatuliwa Au Ni Uchawa Tu?

Nchi yetu ina zaidi ya miaka 60 lakini bado tunahangaika na kero kama maji, umeme, elimu na huduma ya afya. Serikali ya CCM haijatatua kero za msingi...

Continure Reading
  • Posted on: March 21, 2024

Ukaidi Wa CCM - Je Maandamano Tuu Yanatosha?

Maandamano na  migomo ni moja ya  nguvu ya umma, wananchi kuchukua madaraka yao, pamoja na kuwajibisha viongozi wasiotaka kuwajibika kwa wan...

Continure Reading
  • Posted on: March 21, 2024

Afya Ni Mtaji, Kwa Nini CCM Inadhoofisha Huduma Hii?

Ongezeko la watu nchini inajumuisha uhitaji wa ongezeko la huduma ya afya pamoja na watoa huduma wa afya. Takwimu za Benki ya Dunia, kwa watu 1,000 up...

Continure Reading
  • Posted on: March 21, 2024

Vijana Wanamageuzi Wako Wapi? Tunaondokanaje Na Uchawa Wa Vijana?

Uchawa umeshika kasi katika taifa kiasi cha kuchukulia kama kazi nyingine. Hii ni aibu kwa taifa, kwani machawa husifia mambo ambayo hawatakiwi kusifi...

Continure Reading
  • Posted on: March 21, 2024

Ubaguzi Wa CCM Na Serikali Yake Katika Maendeleo

Serikali ya CCM imekua ikibagua wananchi wake katika maendeleo. Kwa awamu hii tumeshuhudia wamasai Loliondo na Ngorongoro wakibaguliwa kwa Serikali ku...

Continure Reading
  • Posted on: March 21, 2024

Tathmini, CCM Wameweza Nini? Je Mbele Kuna Mwanga?

CCM imeweza kuendesha nchi yenye mfumo wa vyama vingi kwa katiba ya chama kimoja kwa zaidi ya miaka 25. Madhara yake tumeshuhudia ukandamizaji na ukat...

Continure Reading
  • Posted on: March 21, 2024

Maridhiano Pekee Na Ya Kweli Ni #Katibampya - Tunatokaje?

Dai la wananchi la kupata Katiba Mpya limedumu kwa zaidi ya miaka 30 sasa na serikali imekuwa ikilipa kisogo kwa kutanguliza maslahi yao mbele. Hivyo,...

Continure Reading
  • Posted on: March 21, 2024

Maridhiano Na CCM - Tumejifunza Nini?

Kwa muda mrefu  migogoro na ukandamizaji, vimefanywa sana na serikali ya CCM hasa katika awamu ya tano. Maridhiano hulenga kurejesha uhusiano wa...

Continure Reading
  • Posted on: March 21, 2024

Mabadiliko Ya Kweli Bila #Katibampya Itawezekana?

Ili nchi iweze kuendelea ni lazima iwe na mifumo thabiti ya kisheria, moja ya mfumo mkubwa wa kisheria kuliko yote ni katiba. Katiba ya sasa ina miany...

Continure Reading
  • Posted on: March 21, 2024

Gharama Za Maisha Kupanda, Je CCM Nchi Imewashinda?

Wananchi wanahitaji huduma za kijamii na bidhaa mbalimbali za kuwezesha maisha yao ya kila siku lakini gharama zimekuwa zikipanda kadri siku zinavyoen...

Continure Reading