Twitter Spaces

  • Posted on: March 19, 2024

Tutapataje Mshikamano #WenyenchiWananchi Kupata #KatibaMpya?

Sakata la Bandari limeonyesha ni kwa jinsi gani tumekosa mshikamano katika taifa letu katika kutetea maswala ya msingi. Katika kutetea rasilimali zetu...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Bandari, Uporaji Ardhi Na Uhaba Wa Dola - CCM Wanatufukarisha?

Chama cha Mapinduzi imeweka mipango ya kujipatia fedha kwa njia ambazo ni halali lakini fedha haramu. Katika kipindi kifupi tumeshuhudia mlundikano wa...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Sakata La Bandari Limefichua Mbinu Za CCM, Tunatokaje Hapa?

Sakata la bandari limeweka wazi kuwa sheria za nchi zinafwata tuu endapo zinatimiza matakwa ya serikali. Vyombo vya habari vimenyamazishwa kuripoti uk...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Hali Ya Demokrasia Nchini - Unafiki Na Uhalisia

Pamoja na nchi nyingi kukiri kuwa zinafuata mfumo wa kidemokrasia mara nyingi misingi yake haifuatwi, Tanzania ikiwemo. Rais Samia akiwa anahutubia ka...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Mikataba 36 Ya Dubai Expo - Yaliyomo Na Uhuru Wetu

Baada ya Rais Samia kuhudhuria maonyesho ya Dubai Maarufu kama Dubai Expo 2020 Februari mwaka jana, mikataba mbalimbali ilisainiwa kati ya nchi hizi m...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Bandari Na Katiba - Je Tutasubiri Au Tutaleta Mabadiliko?

Sakata la bandari limeweka wazi kuwa wananchi hawana usemi juu ya serikali yao. Serikali haijali maoni ya wananchi ambao ndio wenye mamlaka ya kweli....

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Sakata La Bandari Litaumiza Wangapi Mpaka Lini?

Maoni ya wananchi wengi juu ya mkataba wa bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World yameupinga mkataba huu nakuisihi Serikali kuuvun...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Tamko La TEC, Nini Wajibu Wa Viongozi Wa Dini Katika Harakati Za Haki?

Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC ) uliotolewa Agosti 18, 2023 , kupinga mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai. Waraka huo uliopewa ji...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Maliasili Zetu Zageuka Shuburi Kwa Wananchi, Loliondo

Tangu uwekezaji binafsi ulipoanzishwa nchini tumeaminishwa faida nyingi ambazo zingetokana na uwekezaji lakini kama wananchi tumeshuhudia tukibaki pat...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Vitisho Vya Dola Kutumika Sakata La Bandari - Kulikoni?

Mkataba wa bandari baina ya Tanzania na DP World umepingwa na watanzania wengi kwa kuwa ni mkataba wa kinyonyaji usio na muelekeo wa kuinufaisha Taifa...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Hukumu Mbeya Imetuachaje Katika Harakati Ya Kulinda Bandari Zetu?

Katika kutetea rasilimali ya nchi isingie kwenye umiliki wa wageni, Wakili Boniface Mwabukusi pamoja na mawakili wengine wamewawakilisha watanzania kw...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Serikali Kutishia Wananchi Kutumia Mitandao, Inaogopa Harakati Juru?

Tarehe 13 Oktoba 2023, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilitoa Tangazo kwa Umma kuhusu matumizi ya Mtandao wa Kibinafsi wa VPN nchini kwa maelez...

Continure Reading