Twitter Spaces

  • Posted on: March 18, 2024

Mwamko Wa Wananchi Katika Kupata Harakati - Tunapataje Umoja Wa Kitaifa?

Maandamano yameruhusiwa katika katiba yetu kama njia mojawapo  ya wananchi kueleza na kutetea hoja zao kwa Serikali tawala. Watanzania wameamka n...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Sakata La Bandari Limefichua Mbinu Za CCM, Tunatokaje Hapa?

Sakata la bandari limeweka wazi kuwa sheria za nchi zinafwata tuu endapo zinatimiza matakwa ya serikali. Vyombo vya habari vimenyamazishwa kuripoti uk...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Hali Ya Demokrasia Nchini - Unafiki Na Uhalisia

Pamoja na nchi nyingi kukiri kuwa zinafuata mfumo wa kidemokrasia mara nyingi misingi yake haifuatwi, Tanzania ikiwemo. Rais Samia akiwa anahutubia ka...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

CCM Kuweweseka Leo Na Uchaguzi 2024/25 Ni Hofu Au Ubabe?

Matukio mengi yamekuwa yakitokea hivi karibuni yameashiria kuwa ni maandalizi ya chama tawala CCM katika kujihakikishia ushindi katika uchaguzi unaoku...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Bandari, Uporaji Ardhi Na Uhaba Wa Dola - CCM Wanatufukarisha?

Chama cha Mapinduzi imeweka mipango ya kujipatia fedha kwa njia ambazo ni halali lakini fedha haramu. Katika kipindi kifupi tumeshuhudia mlundikano wa...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Wenyenchiwananchi Kukosa Imani Na Wanasiasa - #KATIBAMPYA ITAKUWAJE?

Serikali hajawahi kushirikisha wananchi katika mchakato wa kupata #KatibaMpya   , walipojaribu kufanya hivyo mwisho wa siku wakachachachua mchaka...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Utekaji - Nani Atamfunga Paka Kengele Bila #KATIBAMPYA?

Wananchi wanaripoti matukio ya ndugu zao kupotea, wakati wa awamu ya 5 hii ilijulikana kufanyika na wasiojulikana. Kila mtu ana haki ya kuishi, inapot...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Ubabe Wa Serikali Kupora Ardhi Ya Wananchi - Kulikoni?

Ardhi ni moja ya nyenzo ya wananchi kujikwamua kiuchumi. Matukio ya wananchi kuporwa ardhi yameongezeka sana hivi karibuni. Wananchi wanashidwa kufany...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Msingi Wa Haki Na Usalama Wetu Ni #KATIBAMPYA AU FADHILA?

Chama Cha Mapinduzi kimekuwa kiking’ang’ania madaraka kwa miongo kadhaa, jambo ambalo ni hatari kwa kuwa imesababisha haki za wananchi kup...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Je Tunapambanaje Na Dhulma Kabla Ya #KATIBAMPYA?

Dhuluma ni matokeo ya udhaifu wa mfumo uliopo. Mifumo yetu inabariki dhulma na haisisitizi uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi, madaraka yamekuwa ndi...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Je Maslahi Ya Vyama Vya Siasa Ndo Ya Wananchi?

Maslahi ya vyama vya siasa ni tofauti na maslahi ya wananchi, wapo wanasiasa ambao wanazingita zaidi  kulinda maslahi yao binafsi na  vyama...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Je CCM Inataka Kuleta #Katibampya Au Viraka Vya #Katibampya?

Swali kwa  Serikali kwa sasa inafanya mchakato wa katiba wa aina gani? Ni Muhimu kukawa na taarifa kwa umma, Waziri wa Katiba na sheria na wizara...

Continure Reading