Twitter Spaces

  • Posted on: March 19, 2024

Mikataba 36 Ya Dubai Expo - Yaliyomo Na Uhuru Wetu.

Baada ya Rais Samia kuhudhuria maonyesho ya Dubai Maarufu kama Dubai Expo 2020 Februari mwaka jana, mikataba mbalimbali ilisainiwa kati ya nchi hizi m...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Mikataba Mibovu Kama Andari, Ndo Sababu CCM Kukataa #KATIBAMPYA?

Chama Cha Mapinduzi kipo madarakani si kwa ridhaa ya wananchi bali ni nguvu ya dola inayowezeshwa kwa katiba yetu ya sasa. Kwa mfumo wa sasa Rais ndio...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Sakata La Bandari - Kuipa Ardhi Na Rasilimali Taifa Geni, Je Si Ukoloni?

Mkataba wa bandari baina ya Tanzania na DP World umeanisha kuwa endapo DP World watahitaji ardhi basi Serikali ya Tanzania haitakuwa na budi zaidi ya...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Sakata La Bandari Litaumiza Wangapi Mpaka Lini?

Maoni ya wananchi wengi juu ya mkataba wa bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World yameupinga mkataba huu nakuisihi Serikali kuuvun...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Vitisho Vya Dola Kutumika Sakata La Bandari - Kulikoni?

Mkataba wa bandari baina ya Tanzania na DP World umepingwa na watanzania wengi kwa kuwa ni mkataba wa kinyonyaji usio na muelekeo wa kuinufaisha Taifa...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Tunaimarisha Mshikamano Na Nguvu Ya Umma?

Nguvu ya umma ni muhimu katika kuhakikisha kuwa matatizo ya wananchi yanatatuliwa. Ili kuimarisha mshikamano na nguvu ya umma inabidi watanzania wawek...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Nguvu Ya Mitandao Na Nafasi Yake Kudai Katiba Mpya.

Katiba ya Tanzania ina mapungufu makubwa kuhusu haki za binadamu ambapo imechangia kwa kiasi kikubwa uvunjifu wa haki za binadamu. Mfano haki ya kutoa...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Elimu Duni - Je Ni Mkakati Au Uzembe Wa CCM?

Miundombinu mibovu katika shule zetu ikiwemo uhaba wa madawati umepelekea wanafunzi kusoma katika mazingira magumu ikiwemo kukaa chini pamoja na kuhud...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Katiba Mpya Ya Wananchi Si Wanasiasa Tunaipataje?

Ili #KatibaMpya  ipatikane, Serikali inabidi iwe na dhamira njema na ya dhati ya kuleta katiba mpya na maoni yawe ya wananchi na si chama cha sia...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Je Maliasili Ziko Salama Chini Ya CCM Bila Katiba Mpya?

Kwa hali ya sasa na kwa katiba iliyopo wananchi hawawezi kuona thamani ya rasilimali za nchi maana dhamana ya nchi iko chini ya Rais. Ni kwa sababu hi...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Kesi Ya Bandari Wameizima Ccm Au Harakati Ziendelee?

Pamoja na wananchi kuupinga mkataba wa bandari baina ya serikali ya Tanzania na DP World, Serikali kupitia bunge ilipitisha makubaliano hayo bila ya k...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Vuguvugu La #Wenyenchiwananchi Mashinani Kupata #Katibampya

Serikali imekua ikipinga vikali jitihada za vyama vya upinzani na taasisi mbalimbali katika harakati za kupambania katiba mpya. Hii imeonekana kwa kut...

Continure Reading