Twitter Spaces

  • Posted on: March 18, 2024

Harakati Na Mitandao, Mbinu Za Kulinda Harakati Karne Ya 21

Dunia kwa sasa inatambua nguvu ya mitandao, kuna mabadiliko yamefanywa duniani kutokana na nguvu ya mitandao. Kwa sasa mikutano mingi sana inafanyika...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Wezi Wa CAG Report Wameshindikana? Tufanyeje?

Kila mwaka kumekua na #CAGReport ambayo kwa kiwango kikubwa itaonyesha ubadhirifu, uzembe au wizi lakini hakuna hatua zinazochukuliwa na mamlaka za ut...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Tunaimarishaje Nguvu Ya Umma Inayowezeshwa Na Mitandao?

Hatuwezi kupuuzia nguvu ya mtandao kuwa kuwa siku hizi inatumika na watu wengi kufikisha habari muhimu. Mitandao ya kijamii inasidia kutuleta pamoja i...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Kero Za Muungano Zimeongezeka au Zimepungua?

Muungano ulikuwa ni makubaliano ya kati ya waasisi wawili na si makubaliano ya wananchi wa pande mbili. Tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Je, Mfumo Wa Utoaji Haki Umetekwa Na Wenye Pesa Na Mamlaka?

Mfumo wa haki unapaswa kuwa huru na usio na upendeleo ili kuhakikisha kuwa haki inatendeka kwa watu wote. Mfumo wa haki unapaswa kuheshimu utawala wa...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

"Nchi Wameifanya Mti" Je Nini Mustakabali Wa Nchi?

Katiba zote tangu 1920 hazijawahi kutokana na wananchi. Wananchi hawakushirikishwa katika kuzitunga katiba hizo, wakati wa ukoloni na baada ya wakolon...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Faida Za CAG Report Ni Nini Kama CCM Inakumbatia Wezi?

Kila mwaka kumekua na #CAGReport ambayo kwa kiwango kikubwa itaonyesha ubadhirifu, uzembe au wizi lakini hakuna hatua zinazochukuliwa na mamlaka za ut...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Ulinzi Wa Rasilimali Zetu - Je Tunatimiza Majukumu Yetu P1?

Ubinafishaji wa mali za umma/kuingia mikataba na wawekezaji kutoka nje bila kuzingatia maslahi ya taifa ni moja ya tatizo hapa nchini kwa muda mrefu....

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Ulinzi Wa Rasilimali Zetu - Je Tunatimiza Majukumu Yetu P2?

Matatizo ya matumizi mabaya ya  rasilimali zetu chimbuko lake ni katiba mbovu tuliyonayo. Kupitia katiba tuliyonayo, rasilimali haziwanufaishe wa...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Tunaimarishaje Nguvu Ya Umma Inayowezeshwa Na Mitandao?

Hatuwezi kupuuzia nguvu ya mtandao kuwa kuwa siku hizi inatumika na watu wengi kufikisha habari muhimu. Mitandao ya kijamii inasidia kutuleta pamoja i...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Harakati Na Mitandao, Mbinu Za Kulinda Harakati Karne Ya 21.

Dunia kwa sasa inatambua nguvu ya mitandao, kuna mabadiliko yamefanywa duniani kutokana na nguvu ya mitandao. Kwa sasa mikutano mingi sana inafanyika...

Continure Reading
  • Posted on: March 18, 2024

Sakata La Bandari - Tupange Hoja Dhidi Ya Vihoja Na Vitisho.

Sakata la bandari limezua gumzo nchini na Watanzania wengi wametoa maoni yao juu ya suala la mkataba wa bandari. Kutoa maoni na kusikilizwa ni haki ya...

Continure Reading