Twitter Spaces

  • Posted on: March 21, 2024

CCM Kutumia Dola Kushika Dola Tunaondokana Vipi Na Usultani Wao?

Chama Cha Mapinduzi kimekua kikiongoza Tanzania tangu taifa letu lipate uhuru na kimeendelea kubaki madarakani kwa zaidi ya miaka sitini sasa. Kuendel...

Continure Reading
  • Posted on: March 21, 2024

Je Bado Tunaamini Watanzania Ni Waoga?

Kwa muda mrefu watanzania wamekuwa wakichukulia siasa kama kazi ya watu waliopo madarakani tuu na kwenye vyama vya siasa na kujiweka kando na mambo ya...

Continure Reading
  • Posted on: March 20, 2024

Ulaghai Wa CCM Kuelekea Uchaguzi 2024/25

Ulagai kipindi cha uchaguzi ni jambo la kawaida na lyme kuwepo miaka na miaka japo mbinu zinazotumika zimekuwa zikibadilika. Serikali ya CCM imekuwa i...

Continure Reading
  • Posted on: March 20, 2024

Maandamano Ndo Lugha Wanayoielewa CCM - Tumejipangaje?

Mafanikio ya nchi yanapangwa na uongozi uliopo madarakani. Hali mbaya ya nchi yetu inasababishwa na viongozi wetu kutofikiri vizuri na kukosa maoni ya...

Continure Reading
  • Posted on: March 20, 2024

Je Tumekubali CCM Kuua Katiba Mpya Kabla Ya 2025?

Tanzania ina utawala mbovu kwa sababu ya katiba mbovu. Wananchi wamekumbana na maovu mengi chini ya serikali ya CCM. Mauaji ya raia yameongezeka, ukan...

Continure Reading
  • Posted on: March 20, 2024

Agenda 2024

Wananchi wanaendelea kusumbuliwa na matatizo mbalimbali nchini. Sekta ya ardhi imekua changamoto, watu wanauwawa kwa kupigwa risasi. Migogoro kati ya...

Continure Reading
  • Posted on: March 20, 2024

240124 Maandamano ya wananchi - kwa nini CCM wamepaniki.?

Baada ya wananchi kutangaza maandamano ya kuishinikiza serikali kuzingatia maoni ya wananchi kwenye Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, wabunge na...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Tutapataje Mshikamano #Wenyenchiwananchi Kupata #Katibampya?

Sakata la Bandari limeonyesha ni kwa jinsi gani tumekosa mshikamano katika taifa letu katika kutetea maswala ya msingi. Katika kutetea rasilimali zetu...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Ukosefu Wa Huduma Za Msingi (Maji, Umeme, Afya) Nchi Imewashinda CCM?

Kwa zaidi ya miaka 60 baada ya uhuru wananchi wa Tanzania bado wanakosa huduma muhimu kama maji, umeme na afya. Huduma ya afya ni muhimu kwani wanadam...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Vitisho CCM Kuuza Bandari, Chaguzi Na Ukatili - Tumekubali Yaishe?

Sheria ya rasilimali imekataza kesi za rasilimali zetu zisishtakiwe nje lakini bado serikali yetu wamesaini mkataba wa bandari ambao umekiuka sheria z...

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Bandari na Katiba - Je Tutasubiri au Tutaleta Mabadiliko?

Sakata la bandari limeweka wazi kuwa wananchi hawana usemi juu ya serikali yao. Serikali haijali maoni ya wananchi ambao ndio wenye mamlaka ya kweli....

Continure Reading
  • Posted on: March 19, 2024

Hukumu Mbeya Imetuachaje Katika Harakati Ya Kulinda Bandari Zetu?

Katika kutetea rasilimali ya nchi isingie kwenye umiliki wa wageni, Wakili Boniface Mwabukusi pamoja na mawakili wengine wamewawakilisha watanzania kw...

Continure Reading