MARIA SPACES
-
TUTAPATAJE MSHIKAMANO #WENYENCHIWANANCHI KUPATA #KATIBAMPYA?
OVERVIEW TUTAPATAJE MSHIKAMANO #WENYENCHIWANANCHI KUPATA #KATIBAMPYA? #MariaSpaces #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #ChangeTanzania Sakata la Bandari limeonyesha ni kwa jinsi gani tumekosa mshikamano katika taifa letu katika kutetea maswala ya msingi. Katika kutetea rasilimali zetu kutoka kwenda kwenye mikono ya wageni, ni viongozi wa dini, wanasiasa na wananchi wachache waliotoka kutetea suala hili. Viongozi wengi wanakula meza moja
November 20, 2023 -
UKOSEFU WA HUDUMA ZA MSINGI (MAJI, UMEME, AFYA) NCHI IMEWASHINDA CCM?
OVERVIEW UKOSEFU WA HUDUMA ZA MSINGI (MAJI, UMEME, AFYA) NCHI IMEWASHINDA CCM? #MariaSpaces #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #ChangeTanzania Kwa zaidi ya miaka 60 baada ya uhuru wananchi wa Tanzania bado wanakosa huduma muhimu kama maji, umeme na afya. Huduma ya afya ni muhimu kwani wanadamu bila afya bora hawawezi kushiriki katika huduma za uzalishaji. Huduma ya afya
November 20, 2023 -
VITISHO CCM KUUZA BANDARI, CHAGUZI NA UKATILI – TUMEKUBALI YAISHE?
OVERVIEW VITISHO CCM KUUZA BANDARI, CHAGUZI NA UKATILI – TUMEKUBALI YAISHE? #MariaSpaces #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #ChangeTanzania Sheria ya rasilimali imekataza kesi za rasilimali zetu zisishtakiwe nje lakini bado serikali yetu wamesaini mkataba wa bandari ambao umekiuka sheria za nchi pamoja na katiba. Serikali imeendelea kutumia vitisho na ubabe kwa wananchi wanaotoa hoja zao juu ya mkataba
November 20, 2023 -
BANDARI NA KATIBA – JE TUTASUBIRI AU TUTALETA MABADILIKO?
OVERVIEW BANDARI NA KATIBA – JE TUTASUBIRI AU TUTALETA MABADILIKO? #MariaSpaces #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya #ChangeTanzania Sakata la bandari limeweka wazi kuwa wananchi hawana usemi juu ya serikali yao. Serikali haijali maoni ya wananchi ambao ndio wenye mamlaka ya kweli. Tumeshuhudia wananchi wenzetu wakitishiwa vya kutoa maoni yao juu ya mkataba wa bandari ambao umepingwa na wengi
November 20, 2023
LATEST UPDATES
-
SHERIA YA BIMA YA AFYA KWA WOTE YA MWAKA 2023
Sheria kwa ajili ya kuweka masharti ya kuwezesha upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi kupitia bima ya afya, kuanzisha mfumo wa bima ya afya kwa wote, kuweka masharti ya kupanua wigo wa huduma mbalimbali za afya; na kuweka masharti mengineyo yanayohusiana na hayo.
December 5, 2023 -
YUKO WAPI DR MPANGO? Where is Dr Mpango ?
Hili swali sasa limefika hatua mbaya kidogo, serikali imekuwa na utamaduni wa kudanganya kuhusu wapi walipo viongozi au safari wanazofanya viongozi, Kwa mwezi sasa Dr Mpango haonekani, lakini pia amewakilishwa kwenye shughuli alizotakiwa kufanya kama Makamu wa Rais, Dr Mpango haonekani popote na wasiwasi umeanza kuwa mkubwa, kuna mengi yanasemwa mfano Yuko kwenye Matitabu Korea
December 4, 2023 -
MADHARA YA KUFUTA UMILIKI NA KUUZA KWA MTU MWINGINE NAMBA ZA SIMU ZINAPOKAA MIEZI 3 BILA KUTUMIKA.
Kuna utaratibu mbaya sana umewekwa namna ya usimamizi wa namba SIMU zinapokaa miezi mitatu bila kutumika, Utaratibu huu umelalamikiwa sana na pande zote. Yaani wale wanaopewa hizo laini bila kujua kwamba ilikuwa ni namba ya mtu hapo awali hivyo anaanza kupokea simu na message nyingi zisizo muhusu, hii ikiwa ni pamoja na kupigiwa simu kuitwa
December 4, 2023 -
UKATILI WA VIONGOZI WA KISIASA KATIKA JAMII
Hivi karibuni kumekuwa na taarifa kuhusu aliyekuwa Naibu waziri wa Katiba na Sheria kutuhumiwa kunyanyasa mfanyakazi wake kijinsia, #ChangeTanzania tunalaani tendo hili, Tukio hili la ukatili liliamsha mjadala mkubwa sana katika mitandao ya kijamii hasa mtandao wa X kuhusu video iliyosambaa ya kijana H.A ( jina la kutunga kuficha utu wake) akielezea ukatili aliofanyiwa na
November 30, 2023 -
NGUVU YA UMMA KATIKA KULETA MABADILIKO.
NGUVU YA UMMA KATIKA KULETA MABADILIKO Nguvu ya umma ni namna ya wananchi wa kawaida hupigania haki zao, uhuru, na usawa kwa njia halali za kisheria bila kutumia njia za hatari. Hii ni haki iliyoainishwa na Katiba yetu ya Tanzania 1977. Wananchi wanapotumia nguvu ya umma wanakuwa na malengo ya kujenga Taifa lenye demokrasia, na
October 20, 2023 -
KULAANI VIKALI UBAGUZI NA UNYANYASAJI ULIOFANYWA NA JESHI LA POLISI DHIDI YA WANAHARAKATI.
Mtandao wa #WenyeNchiWananchi unaohusisha wananchi mbalimbali wakiwemo wanaharakati inalaani vikali vitendo vya ubaguzi na unyanyasaji vilivyofanywa na jeshi la polisi dhidi ya wanaharakati na wasomi waliofika Mwanza kwa ajili ya Kongamano kuhusu Katiba Mpya na kupinga mkataba mbovu wa DP World wa kuchukua bandari zetu (Kampeni #OkoaBandariZetu)Kwa mujibu wa wajumbe kati ya tarehe 02 hadi
October 6, 2023 -
KUKOSEKANA KWA UMEME NCHINI
KUKOSEKANA KWA UMEME NCHINI Tatizo la uhaba wa umeme nchini linaathiri maisha ya watu na shughuli za kiuchumi, serikali ya imekiri kupungua kwa kasi ya uzalishaji umeme hali inayopelekea kupatikana kwa umeme wa mgao katika maeneo tofauti ya nchi. Rais anasema kutokarabatiwa kwa mitambo ni sababu iliyosababisha kukosekana umeme, ametoa maelekezo kwa mkurugenzi mpya kwenda
September 26, 2023 -
CRIMINAL APPEAL CASE NO 87 OF 2023, PETER MICHAEL MADELEKA VERSUS THE REPUBLIC OF TANZANIA.
On the trial between The Appellant, Peter Michael Madeleka vs The Republic, the appellant was wa challenging the previous judgment on the two grounds That, the Honourable Court’s (sic) erred in law and fact in holding that consequent to the nullification o f plea bargain agreement the parties are reverted to the old charge before
September 14, 2023
About Us
Change Tanzania, is a social media movement that started on social media as an informal grouping of individuals who are focused on bring positive, sustainable change to Tanzania. The primary focus of Change Tanzania is the change of attitude (behavioral change) which seeks to positively empower every Tanzanian to feel that change of his/her environment is possible without external help or support. From this perspective it is a non-violent movement with a radical vision as it strives to change the value systems of Tanzania and steer the national psyche toward a sense of empowerment and channel the energy toward positive growth..
Who We Are
Change Tanzania is non-partisan and will continue to strive to remain outside the political parties structure in order to ensure that it remains a social movement that will encompass and include Tanzanians of all walks of life. Change Tanzania is a unifying force that provides positive and critical thinking thus avoid any dogmatism, ideology and division…