News Details

Hotuba Ya Waziri Wa Fedha Na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb.), Akiwasilisha Bungeni Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Ya Wizara Ya Fedha Na Mipango Kwa Mwaka 2023/2024.

Mh Waziri Mwigulu Lameck Nchemba aliwasilisha Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya Wizara kwa mwaka 2022/23 pamoja na Mwenendo wa Utekelezaji wa Vipaumbele vya Wizara Kukusanya, kutafuta na kudhibiti mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka unaofuata 2023/2024. Pia  Kufanya tathmini ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 na maandalizi ya Dira 2050. 

#ChangeTanzania

0 Comment

Leave a Comment