UHURU, HAKI NA MAENDELEO YA KIUCHUMI. JE MALIASILI ZIKO SALAMA CHINI YA CCM BILA KATIBA MPYA? KATIBA MPYA YA WANANCHI SI WANASIASA TUNAIPATAJE? ELIMU DUNI – JE NI MKAKATI AU UZEMBE WA CCM? Miaka 61 Changamoto za Umma Kutotatuliwa Je CCM Imefeli? Kwa nini CCM na Serikali zake Wanaogopa Uwazi na Uanaharakati? CCM Inavyohodhi Mifumo Ya Haki Kwa Kutumia Dola – Tunatokaje? Tutapataje Mshikamano Wa Makundi Katika Jamiii Kudai Katiba Mpya? Deni la Taifa kuongezeka CCM imekosa mikakati? Je serikali ya awamu hii inawasakama wafugaji? Migogoro na Haki ya Umiliki wa Ardhi. Uchaguzi, Uwazi, Media Tumekwama Wapi? Miaka 61 Ya Uhuru Tanganyika, Tumenufaikaje Wananchi? Polisi Kuumiza Watu, Serikali ya CCM Kimya, Je ni wanufaika? Umoja wa Kitaifa Kumomonyoka, CCM Imefeli wapi? Kataa Tozo – Je tumeridhika na Punguzo? Harakati Tanzania na Mikataba Ya Kimataifa. Maji, Nishati – Je Katiba mpya italeta viongozi wabunifu? Miradi mikubwa na mikataba, Je katiba mpya itatuokoa? Nini hatma ya Katiba Mpya, Demokrasia baada ya kikosi kazi. Je, Katiba mpya itaweza kupatikana kufikia 2025? Maridhiano ya nayoendelea ni ya kisiasa au kitaifa? Udhaifu wa Viongozi na Uwajibikaji. Ngorongoro Kulikoni? Bima Ya Afya Kwa Wote Usalama Wa Raia Na Changamoto Za Kiuchumi Demokrasia Yetu – Mwenendo Na Hali Yake Ikoje? Haki Zetu Na Demokrasia Tusubiri Hadi #KATIBAMPYA ? Tozo Na Ushauri Wanaopewa, Serikali, Kuna Usikivu Au Ubabe Tu? Taasisi Imara Na Demokrasia. Tunajifunza Nini Kutoka Kenya? Ukatili, Wizi na Upotoshaji wa Serikali. Tozo kila kukicha, ina manufaa au hasara kwa Taifa? Tozonia – Tumefikaje na Tunatokaje hapa? Katiba Jana na Leo – Jenerali Ulimwengu Utalii, Maliasili, Uhifadhi – Tunanufaikaje? Siasa na Uchumi – Je tunapata Uongozi Tunaostaili.? Lessons from Kenya #KatibaMpya Usimamizi wa Uchumi na Viongozi wetu – Tuko Vizuri Mauaji Kiholela Ya Polisi na Uwajibikaji. Uongozi, Uwajibikaji na Utawala Wa Sheria. Polisi Katili – Mamlaka Kimya, Tufanye Nini? Wananchi Kukataa Uonevu – Tumefanya Vya Kutosha Nchi Kufunguka Na Hali Halisi Kiuchumi. Je Serikalo inaboresha ama inafifisha ustawi wa jamii? Leo #MariaSpaces tunajadili Harakati, Siasa na mitandao ya kijamii