Report Details

RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 2013

Toleo la Rasimu ya Katiba limechapishwa kwenye Gazeti la Serikali kwa mujibu wa kifungu cha 18(5) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83, kwa madhumuni ya kuwepo kwa wananchi kusoma na kutoa maoni zaidi kwa Tume kuhusu maudhui yaliyomo kwenye Rasimu ya Katiba. 


Posted on : 27 March, 2019 DOWNLOAD REPORT