- June 8, 2023
- Posted by: Adminct
- Category: News
No Comments

Mh Waziri Mwigulu Lameck Nchemba aliwasilisha Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya Wizara kwa mwaka 2022/23 pamoja na Mwenendo wa Utekelezaji wa Vipaumbele vya Wizara Kukusanya, kutafuta na kudhibiti mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka unaofuata 2023/2024. Pia Kufanya tathmini ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 na maandalizi ya Dira 2050.
#ChangeTanzania